JIOGRAFIA STANDARD FOUR REGIONAL EXAMS (MOCK, PRE-NATIONAL, etc.)

Jina la mwanafunzi ________________________
Namba ya upimaji____________________
Mkoa____________________________
Halmashauri___________________

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI

MTIHANI WA UPIMAJI DARASA LA NNE

A06  JIOGRAFIA NA MAZINGIRA SANAA NA MICHEZO

 Muda: Saa 1 Mwaka: 2025

Maelekezo kwa mtahiniwa

  1. Mtihani huu una sehemu A na B zenye jumla ya maswali nane (8)
  2. Jibu maswali yote kama ulivyoelekezwa katika kila sehemu.
  3. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa katika mtihani.
  4. Epuka kufuta kufuta.
  5. Simu za mkononi, karatasi zisizohusika na vitabu haviruhusiwi kaika chumba cha mtihani.
  6. Kumbuka kuandika jina lako, namba ya upimaji, mkoa na halmashauri kila ukurasa kwenye sehemu uliyopewa upende wa juu kulia.
 KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU 
 NAMBA YA SWALI   ALAMA   SAHIHI YA MTAHINI 
 1.  
 
 2.  

 3.  

 4.  

 5.  

 6.  

7.

8.

 JUMLA 

SEHEMU A: (ALAMA 26); JIOGRAFIA NA MAZINGIRA

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1. Chagua jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu sahihi kwenye kisanduku kwa kila kipengele (i)-(vi)

  1. Kutafuta umbali wa eneo 
  2. Kujua idadi ya watu
  3. Kuangalia video
  4. Shughuli za kilimo  [     ]

(ii) Waislamu huelekea Makkah wanaposwali. Kifaa gani wametumia kuwajulisha Makkah ilipo?

  1. Dira 
  2. Ufunguo 
  3. Skeli
  4. Mistari ya kontua [     ]

(iii) Tunaweza kuchora ramani ya kidijitali katika kifaa kipi kati ya hivi?

  1. Karatasi 
  2. Redio 
  3. Aipadi
  4. Pasi ya umeme [     ]

(iv) Katika ramani ya kontua, mistari ya kontua inapokaribiana sana humaanisha nini?

  1. Bonde 
  2. Mlima mrefu 
  3. Uwanda wa juu
  4. Tambarare [     ]

(v) Aisha aliambiwa aoneshe bahari, mito na maziwa kwenye ramani. Je unadhani atatumia rangi ipi?

  1. Kijani 
  2. Bluu 
  3. Kahawia
  4. Nyekundu [     ]

(vi) Mtu mwenye utaalamu wa kuchora ramani huitwaje?

  1. Topografia 
  2. Katografia 
  3. Katografa
  4. Topografa [     ]

2. Chagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku.

Migodi, Upasuaji mbao, Jiografia na mazingira, zebaki, kukata mkaa, maji safi

(a) Tunasoma kuhusu binadamu na mazingira yake ______________________________

(b) Shughuli inayohusu kuchana miti ili kupata mnbao ____________________________

(c) Maeneo ambayo shughuli ya uchimbaji madini hufanyika ________________________

(d) Hutumika kusafishia madini mfano dhahabu _________________________

3. (a) Eneo la ardhi ambalo lina mwinuko kisha tambarare juu yake huitwaje? ________________________

(b) Mlima gani unapatikana mkoa wa Morogoro? ________________________

4. Soma picha ifuatayo kwa umakini kisha jibu maswali yanayofuata.

image 

Maswali

(i) Kifaa hiki kinachofanana na saa kinaitwaje?_____________________________

(ii) Nini kazi ya kifaa hiki?______________________________________________ 

(iii) Taja sehemu moja ambayo unaweza kukuta kifaa hiki?______________________ 

(iv) Kuna faida gani kutumia kifaa hiki? ___________________________________________

SEHEMU B: (ALAMA 24) SANAA NA MICHEZO

5. Chagua jibu sahihi kisha andika herufi katika visanduku.

(i) Sanaa za maonesho hujumuisha vitu vifuatavyo isipokuwa:- 

  1. Ulaji  
  2. Ngojera
  3. Majigambo
  4. Ugizaji [     ]

(ii) Jambo gani kati ya haya sio la kuzingatia wakati wa uigizaji?

  1. Kuhakikisha wanaotazama wamevaa nguo nzuri na mpya.
  2. Kutumia vizuri jukwaa
  3. Kufikisha ujumbe sahihi
  4. Kuhakikisha uwepo wa watendaji [     ]

(iii) Ni kitu gani kisicho hai kati ya hivi tunaweza kuigiza sauti yake?

  1. Ndege ya abiria
  2. Njiwa
  3. Ng’ombe
  4. Miti [     ]

(iv) Sanaa inayofikisha ujumbe kwa hadhira kwa njia ya kuchekesha huitwaje?

  1. Muziki
  2. Igizo la kale
  3. Ngonjera
  4. Kichekesho [     ]

6. Chagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku.

Kufinyanga kwa njia ya pindi, Jukwaa, mchezo wa kisasa, Upepo au moto, Hadhira, Fanani, Njia bapa

(a) Halima alitengeneza vyungu vya mauwa kwa udongo____________________________________ 

(b) Njia za ukaushaji wa kifani______________________________________________

(c) Hutumika kuonesha matukio ya kisanii kama vile maigizo, uimbaji na ngojera________________________

(d) Watu wanaofikishiwa ujumbe__________________________________

(e) Mchezo wa sarakasi________________________________________________________________________________

7. (a) Kuna aina nyingi za mazoezi ya viungo. Andika moja tu ___________________________________________________

(b) Andika faida mbili za mazoezi ya viungo.

(i) ___________________________________________________________________________ 

(ii) ___________________________________________________________________________

8. Tazama picha ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata.

image

Maswali.

(a) Mchezo huo pichani unaitwaje? __________________________________________________

(b) Ni watu wa umri gani wanaweza kucheza mchezo huo? Taja makundi mawili.

(i) _______________________________________________

(ii) ______________________________________________ 

(c) Taja faida mbili za mchezo huo.

(i) _______________________________________________

(ii) _______________________________________________

STANDARD FOUR JIOGRAFIA EXAM SERIES 51  

STANDARD FOUR JIOGRAFIA EXAM SERIES 51  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256