?>
Jina La Mwanafunzi: _______________________________________
Jina La Shule: ___________________________________________
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TANO 2026
SOMO: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
SEHEMU A: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA (Alama26)
1. Kwa kila kipengele (i) – (xv), chagua herufi ya jibu sahihi kisha iandike herufi ya jibu sahihi katika kisanduku ulichopewa:
i. Kati ya hizi zifuatazo ipi si rasilimali asili katika miradi ya kilimo cha mboga mboga?
A) Ardhi B) Maji C) kazi D) Mbegu E) madini
ii. Ni kipi kinachowezesha ukuaji halisi wa mazao ya mboga?
A) Pesa B) Mashine C) Mbegu D) Kazi E) Maghala ya kuhifadhia
iii. Jamii ya Tanzania inataka kuendeleza chanzo cha mapato endelevu kutoka msituni. Shughuli ipi ya msitu itasaidia huku ikihifadhi mazingira?
A) Kukata miti ya mbao kwa kipimo B) Ufugaji wa nyuki msituni C) Kubadili msitu kuwa shamba D) Kuchimba madini msituni E) Kutumia msitu kwa kukusanya kuni pasipo kupanda miti mingine
iv. Mamlaka ya hifadhi za Taifa (TANAPA) inahitaji kuchukua hatua itakayolinda vyema wanyama wakubwa watano. Je ni hatua ipi inayofaa zaidi?
A) Kuweka vikwazo vikali vya ujangili na ulinzi wa makazi B) Kupanua maeneo ya utalii C) Kupunguza eneo la hifadhi D) Kuwahamisha wanyama wakubwa kwenda kwenye mashamba binafsi E) Kupunguza ulinzi katika eneo la hifadhi
v. Baadhi ya watoto wana tabia ya kuharibu na kuchafua vyanzo vya maji. Ni athari zipi zitatokea kutokana na vitendo hivyo?
A) Ongezeko la samaki B) Ongezeko la maji C) Kuenea kwa magonjwa D) Kusafisha maji E) Kutibu maji
vi. Bwana Njate alipanda Mlima Kilimajaro na kufika kileleni baada ya siku tatu. Je, aliona nini katika kilele cha mlima?
A) Bahari na bwawa B) Saruji iliyotengenezwa na binadamu C) Mawe ya nyumba pekee D) Barafu E) Mkusanyiko wa matope
2. Jibu swali kipengele cha (i) – (v) Kwa kuoanisha maeneo yanayopatikana hifadhi za Taifa zinazopatikana Tanzania katika SAFU A na majina ya hifadhi hizo katika SAFU B na uandike herufi ya jibu sahihi katika mabano uliyopewa
| SAFU A | Jibu | SAFU B |
| i. Kaskazini-magharibi (Mara, Arusha, Simiyu) | ( ) | A. Serengeti B. Tarangire C. Kondoa Irangi D. Lake Manyara E. Ngorongoro F. Ruaha G. Gombe |
| ii. Kaskazini (Manyara, Arusha, Dodoma? | ( ) | |
| iii. Kaskazini ( Arusha and Manyara) | ( ) | |
| iv. Kusini magharibi (Iringa and Mbeya) | ( ) | |
| |
3. i. Dhahabu ina mchango gani katika uchumi wa Tanzania?
a).____________________________________________________________
b).______________________________________________________________
ii. Tanzania pia ina rasilimali mbadala nyingi. Taja rasilimali mbadala mbili.
a)._____________________________________________
b).________________________________________________
iii. Ili kukuza sekta ya uchumi wa bluu, ni matumizi gani endelevu ya rasilimali tunapaswa kuzingatia?
(a)____________________________________
(b)_______________________________________
4. Chunguza ramani ifuatayo kisha jibu swali (a) – (e) kwa kuandika jibu sahihi katika nafasi zilizo wazi
RAMANI YA KATA YA MSANGALALE
Maswali:
a) Kuna milima mingapi katika ramani hapo juu?
____________________________________________________
b) Taja vitu viwili vilivyotengenezwa na binadamu
i) __________________________________________________
ii) __________________________________________________
c) Msikiti upo uelekeo gani kutokea kanisani?
____________________________________________________________
d) Kuna madaraja mangapi kwenye ramani hapo juu?
_____________________________________________________________
e) Alama gani kwenye ramani inawakilisha mlima? Ichore
______________________________________________________________
SEHEMU B SANAA NA MICHEZO ( Alama 24 )
5. Chagua herufi ya jibu sahihi.
i .Vifuatavyo ni vifaa vya kuchorea isipokuwa ? ____________
A) kifutio B) Maji C) Penseli D) Meza na kiti
ii. Ni aina gani za Sanaa za maonesho ambayo ni maarufu kwa Watoto wa shule? ____________
A) Ngonjera B)Muziki C) Majigambo D) Ufinyanzi
iii. Je mavazi ya waigizaji kwenye Sanaa za maonesho huitwaje? ____________
A) Maleba B) Mapambo C) makunzi D) nguo
iv.__________Ni kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la mwingine?
A) Kuomba B) Kuigiza C) Ukimbia D) Kuruka
6. Oanisha maneno au sentensi katika Orodha A na Orodha B kisha andika jibu sahihi.
| NA. | ORODHA A | JIBU | ORODHA B |
| I | Kayamba | A).Ala za kugonga B).Kikombe C).Kayamba D).Filimbi E).Mchezo wa asili ambao huchezwa na watu wawili kwa kutumia kete F).Mchezo wa mpira ambao huchezwa kwa mikono G).Ala za kutikisa | |
| Ii | Ngoma | ||
| Iii | Bao | ||
| Iv | Ala ya kupuliza | ||
| V | Rede |
7.Jaza nafasi zilizoachwa wazi
(a) onesha mambo makuu mawili ya kuzingatia katika uigizaji wa vitendo na sauti
i ________________________________________ ii.________________________________________
8.Watoto wanaoonekana kwenye kielelezo hapo chini ni waigizaji na wanajiandaa kwa shughuli ya kuigiza.
Maswali
i. Je, kwa jina la kisanii watu wanaofanya sanaa ya maonesho wanaitwaje?
______________________________________________________________
ii. Mchezo huo unaitwajwe? ________________________________________
iii. Je, mavazi waliyovaa watu hao yanaitwaje? _________________________________
iv. Taja idadi ya watu wanaoonekana kwenye mchezo huo_________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD FIVE EXAM SERIES 142
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA MACHI-2026
JEOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA V
MUDA : SAA 1:30
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 20)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
Kwa kila kipengee (i) – (x), chagua jibu sahihi kutoka mbadala zilizotolewa na andika herufi yake katika kisanduku kilichotolewa.
(i) Rasilimali ni nini?
(ii) Kipi kati ya yafuatayo ni rasilimali ya asili?
(iii) Rasilimali zinazoweza kujazwa (renewable) ni zile zinazoweza:
(iv) Ni mfano gani wa rasilimali isiyoweza kujazwa (non-renewable)?
(v) Mtawanyiko wa idadi ya watu (population distribution) unahusu:
(vi) Aina gani ya mtawanyiko wa idadi ya watu ina watu wengi wamejikita katika eneo moja?
(vii) Sababu inayoathiri mtawanyiko wa idadi ya watu ni:
(viii) Rasilimali za asili zinachangia maendeleo kwa:
(ix) Athari ya mtawanyiko wa idadi ya watu kwa mazingira inaweza kuwa:
(x) Ni rasilimali gani ya asili inayopatikana sehemu nyingi za Tanzania, kama maziwa na mito?
2. Linganisha aina za rasilimali za asili katika ORODHA A na mifano yake katika ORODHA B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi kando ya namba ya kipengee kwenye jedwali lililotolewa.
| ORODHA A | MAJIBU | ORODHA B |
| (i) Rasilimali zinazoweza kurejeshwa. |
| |
| (ii) Rasilimali zisizoweza kurejeshwa. | ||
| (iii) Rasilimali watu. | ||
| (iv) Rasilimali za mtaji | ||
| (v) Wanyamapori kama rasilimali ya asili |
SEHEMU B (Alama 20)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. Jaza nafasi tupu kwa maneno sahihi kutoka kisanduku kilichotolewa.
| vikundi , chache, sare, ardhi, madini, maendeleo, mazingira, mtawanyiko wa idadi ya watu, rasilimali za asili, uhifadhi |
(i) ________ ni vitu vinavyopatikana katika asili kama maji na misitu ambavyo binadamu hutumia.
(ii) Jinsi watu wanavyosambaa katika maeneo inaitwa ________.
(iii) Katika mtawanyiko wa idadi ya watu wa ________, watu wamesambaa sawasawa.
(iv) Sababu ya kijiografia inayoathiri mtawanyiko wa watu ni upatikanaji wa ________ yenye rutuba.
(v) Mtawanyiko wa idadi ya watu unaweza kusababisha matumizi makubwa ya rasilimali na kuharibu ________.
4. Andika KWELI kama taarifa ni sahihi au SI KWELI kama si sahihi.
(i) Rasilimali za asili zinajumuisha vitu vilivyotengenezwa na binadamu tu. ________
(ii) Tanzania ina rasilimali za asili kama maziwa, mito na wanyamapori. ________
(iii) Mtawanyiko mdogo (sparse) wa idadi ya watu unamaanisha watu wanaishi karibu pamoja. ________
(iv) Kuongezeka kwa idadi ya watu kunaweza kusababisha mahitaji makubwa ya rasilimali za asili. ________
(v) Mtawanyiko sare wa idadi ya watu mara nyingi hupatikana katika maeneo ya kilimo. ________
5. Eleza kwa ufupi istilahi zifuatazo:
6. Orodhesha aina mbili za mtawanyiko wa idadi ya watu na sababu mbili zinazoathiri.
Aina:
(i) ______________________________
(ii) ______________________________
Sababu:
(i) ______________________________
(ii) ______________________________
SEHEMU C (Alama 10)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
7. Eleza umuhimu wa rasilimali za asili kwa maendeleo ya Tanzania. Toa hoja mbili.
(i) ______________________________
(ii) ______________________________
8. Eleza njia mbili ambazo mtawanyiko wa idadi ya watu unahusiana na matumizi ya rasilimali za asili.
(i) ______________________________
(ii) ______________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD FIVE EXAM SERIES 134