?>
Jina la Mwanafunzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
Shule . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS UTAWALA WA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA DODOMA
MTIHANI WA MUHULA DARASA LA NNE
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI [06E]
MUDA : Saa 1:30
MAELEKEZO:
KWA MATUMIZI YA WATAHINI TU | |||
Namba ya Swali | Alama | Sahihi ya Mtahini | Sahihi ya Mhakiki |
1. | |||
2. | |||
3. | |||
4. | |||
5. | |||
6. | |||
JUMLA |
SEHEMU A: (ALAMA 26)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha ujaze kwenye kisanduku ulichopewa
i. Kitendo cha kutoa au kupokea kitu chochote kwa lengo la kupewa upendeleo katika jambo fulani au kupata huduma fulani huitwaje? [ ]
A. Zawadi C. Nidhamu B. Rushwa D. Msaada
ii. Tanzania ni nchi iliyoundwa na mataifa mawili; Tanganyika na Zanzibar. Ni lini muungano wan chi hizo ulifanyika?
A. 9/12/1961 C. 14/10/1999 B. 26/12/1964 D. 26/4/1964
iii. Ipi miongoni mwa tabia zifuatazo huonyesha kitendo cha heshima?
iv. Katika historia ya Tanzania, Ni mreno gani wa kwanza kuingia pwani ya Afrika Mashariki?
v. Kitu chochote ambacho mtu anastahili kupewa huitwaje?
A. Haki C. Mali B. Wajibu D. Majukumu
2. Oanisha maelezo yaliyopo kwenye orodha A na majibu yaliyopo kwenye orodha B, na kisha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye chumba ulichopewa.
ORODHA A | MAJIBU | ORODHA B |
(i) Majengo ya zamani yaliyobaki kama sehemu ya historia na utamaduni. |
| |
(ii) Sehemu ambapo nyaraka na taarifa mbalimbali za kihistoria huhifadhiwa. | ||
(iii) Maeneo yanapopatikana masalia ya mambo ya kale na utamaduni wa mwanadamu. | ||
(iv) Maeneo yanayotumiwa kuhifadhi vitu vyenye historia na urithi wa kiasili na kiutamaduni. |
3. Chagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku kasha jibu maswali yanayofuata;
Kaole, Zanzibar, Olduvai Gerge, Zinjanthropus, Link |
(i) Mji palipogundulika mabaki ya Dinosaria wa Tendaguru.
(ii) Sehemu ambapo lipo jengo la maajabu ambalo lina historia ya kuwa jengo la kwanza kuwekwa lifti za umeme.
(iii) Eneo lilipogunduliwa fuvu la Binadamu wa kale na Dr. Louis Leakey.
(iv) Jina lilopewa fuvu la binadamu wa kale lililogunduliwa mwaka 1959.
(v) Mji yanapopatikana magofu ya msikiti na kituo cha kuhifadhia watumwa.
SEHEMU B: (ALAMA 24)
4. Ainisha matendo yafuatayo kwa kusoma maelezo yake na kuweka alama ya vema (√) katika chumba sahihi. Kipengele cha tano (v) kimefanywa kama mfano kwa ajili yako.
Kitendo | Kitendo cha kimaadili | Kitendo kisicho cha kimaadili |
(i) Kupigana na wenzako | ||
(ii) Kusalimia watu wakubwa | ||
(iii) Kushirikiana na watu wengine | ||
(iv) Kuwatukana watu wazima | ||
(v) Kumsaidia mzee kubeba mizigo | √ |
5. Tazama picha hizi kwa makini kasha jibu maswali yanayofuata
![]() |
Maswali
i. Mwanamke aliyeoneshwa katika picha A anafanya nini?
ii. Mwanaume anayeonekana kwenye picha B anafanya nini?
iii. Jamii ya mtu aliyeoneshwa kwenye picha B hupendelea kula chakula gani.
iv. Aina ya nguo aliyoivaa mtu aliyeoneshwa kwenye picha B inaitwaje?
6. Soma habari ifuatayo kasha ujibu maswali yanayofuata;
Jamii za Tanzania hapo Kale zilifanya biashara na wafanyabiashara kutoka Mashariki ya Mbali na ya Kati. Nchi hizo ni India, Irani, Iraki, Kuwait, China na Saud Arabia. Biashara hii ilifanyika katika miji iliyopo katika mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi kama vile Dar es Salaam, Bagamoyo, Tanga, Kilwa na Zanzibar. Biashara hizi zilifanyika kwa kubadilishana bidhaa. Bidhaa kubwa katika biashara hii kutoka nchini ilikuwa dhahabu na pembe za ndovu. Dhahabu ilitoka Zimbabwe kupitia bandari ya Sofala, Msumbiji. Kutoka kwa wageni kuja nchini, bidhaa kubwa zilikuwa shanga na vyombo vya ndani kama vile mabakuli na sahani za udongo. Baadhi ya mabaki ya bidhaa hizi yapo katika Makumbusho hapa nchini, kama vile makumbusho ndogo iliyopo Kaole, Bagamoyo.
Maswali
(i) Mabaki ya bidhaa zilizotumika katika biashara na watu wa Mashariki ya mbali zimehifadhiwa wapi?
(ii) Taja bidhaa mbili zilizokuwa zinaletwa kutoka kwa wageni?
(iii) Tja nchi mbili za Mashariki ya mbali zilizotajwa kwenye habari hii?
(iv) Taja miji miwili iliyopo katika Mwambao wa Pwani
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISTORIA STANDARD FOUR EXAM SERIES 114
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
JARIBIO LA NUSU MUHULA-MACHI 2025 DARASA LA NNE
SOMO: HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
DARASA LA NNE
SEHEMU A: CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI
1. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha iandike kisanduku cha kujibia
i. Zifuatazo ni haki za mtoto isipokuwa
(A) kupata elimu bora
(B) kutomsikiliza anapohitaji msaada
(C) kupata nafasi ya kucheza
ii. Kwa majibu wa sheria ya mtoto ni mtu mwenye umri wa miaka rningapi?
(A) chini ya miaka 10
(B) chini ya miaka 18
(C) chini ya miaka 21
(D) chini ya miaka 15
iii. Mfumo wa uongozi wa usultani ulitumika katika maneno gani?
(A) visiwa vya zanzibari
(B) kaskazini mwa Tanzania
(C) kusini magharibi mwa Tanzania
(D) maeneo ya ziwa Tanganyika
iv. Familia ya mzee lazier na ile ya mzee moleli zina uhusiano wa damu, kipi ni ukweli kuhusu familia.hizi?
(A) asili yake ni ukoo mmoja
(B) zinapatikana kutoka jamu ya kisultani
(C) kiongozi wake ni mtemi
(D) zinatokana na makabila tofauti
v. Mtemi alikwa na majukumu yafuatayo isipokuwa
(A) kusimamia ibada za jamii
(B) kutengeneza zana za chuma
(C) kuhusisha migogoro katika jamii
(D) kusimamia biashara katika himaya yake
2. Oanisha kufungu cha maneno ya kifungu A dhidi ya kifungu cha maneno ya sehemu B kisha uandike herufi ya jibu sahihi katika mabano.
KIFUNGU A | KIFUNGU B |
i. Wahehe ii. Wamasai iii. Wanyamwezi iv. Wahaya v. Wachaga | A. Mtemi B. Mtwa C. Mangi D. Omukama E. laiboni |
3. Jaza nafasi zilizo wazi kwa kuchagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku cha majibu.
Akiologia | Kusimulia | 2009 | 2019 | Usultani | Ustawi wa jamii | Ukoo | Kitemi |
i. Kundi la watu wenye nasaba moja, wakijumlisha familia zenye uhusiano wa damu huitwaje?
ii. Mfumo wa uongozi wa jadi ulioshamiri zaidi katika visiwa vya unguja na pemba uliitwaje ........................................................
iii. Sheria ya mtoto ilitungwa mwaka ........................................................
iv. Mtoto ambaye Haki zake zimekiukwa anaweza kwenda kutoa taarifa kwenye ofisi ya ........................................................
v. Je, ni nini maana ya kuelezea jambo au habari kulingana na mlolongo wa matukio?
SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI
4. Kamilisha jedwali lifuatalo kwa kuandika mkoa ambao eneo Ia kihistoria linapatikana.
Eneo la kihistoria | Eneo na mkoa ilipo |
i. Magofu_ya husuni kubwa |
|
ii. Gofu la ngome ya gereza |
|
iii. Jumba la caravan serai |
|
iv. Gofu la msitiki mkuu |
|
5. Chunguza picha kisha jibu maswali yanayofuata
(a) Watu wanaonekana katika picha wametoka kufanya shughuli gani?
(b) Jaza zana mbili za chuma waliotumia watu wa jamii hii kufanyja shughuli hizo
(i) ........................................................
(ii) ........................................................
(iii) ........................................................
(c) Taja malighafi iliyotumika kutengeneza nguo walizovaa watu wanaonekana katika picha ........................................................
(d) Unafikiri hawa ni wa kabila gani hapa Tanzania?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISTORIA STANDARD FOUR EXAM SERIES 113