?> MICHEZO STANDARD THREE EXAMS SERIES
MICHEZO STANDARD THREE EXAMS SERIES

 OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MUHULA WA PILI 

SOMO: SANAA NA MICHEZO DARASA: TATU 

MUDA: SAA 1:30

JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________ 

SEHEMU A: Chagua herufi ya jibu sahihi

1.(i)Kitendo cha kufuatishakitu au jambo la mtumwingineni___________ [     ]

(a)kucheza (b)kuigiza (c)kupika

(ii)Uigizaji una sifakuu ngapi?  [     ]

(a) Moja (b) mbili (c) nne

(iii) _______________ni mtu mwenye ustadi wakazi ya sanaa [     ]

(a) Msanii [b] Mfinyanzi [c] Mwalimu

(iv)Tarumbeta ni mfano wa alaya____________ [     ]

(a) Kupuliza (b) Kuvuta (c) Kubonyeza

(v) Ujumbe uliokusudiwa katika kazi ya sanahujulikanakama ________ [     ]

(a)Ngonjera(b) kichekesho(c) dhamira

2. SEHEMU : Chagua maneno kutoka kwenye kisandu kumalizia sentensi hapa chini

Gitaa, Kuburudisha, Jiwe, Ngombe,Tarumbeta, Fanani,Ala za mziki

  1. Vifaa vinavyotumika kuzalisha sauti mbalimbali________________
  2. Mfano wa ala yanyuzi _____________
  3. Umuhimu wa uigizaji ni___________
  4. Kitu kisicho na uhai ______________
  5. Muigizaji huitwa_____________

3. SEHEMU C: Oanisha fungu A nafungu B iliupate maana sahihi

 FUNGU A 

JIBU

FUNGU B

(i)Sanaa Inayofikisha ujumbe kwakujisifia [     ]
  1. Mazoezi ya pumzi
  2. Ala za muziki
  3. Majigambo
  4. Jukwaa
  5. Uimbaji
  6. Mkaosawawakatiwakuimba
(ii)Mahali pa kuigizia [     ]
(iii) Kutamka maneno katika hali ya kuimba [     ]
(iv) Gitaa, kinubi; litungu, zeze [     ]
(v) kuvuta hewa na kutunza kwa kisha kuitoa [     ]

4:SEHEMU D: jaza nafasi zilizo wazi

  1. Kwaya muziki wadansi na singeli ni mfano wa_______________
  2. Onesho linalooneshwa wakati wakuigiza huitwa_____________
  3. Kielelezo cha kitu halisi huitwa__________
  4. Kukimbia, kusimama kwa mguu mmoja na kurukani _________ ya viungo.
  5. _______________ ni kutengeneza maumbo kwa kutumia udongo wa mfinyanzi.

5.SEHEMU E: Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali

Mazoezi yaviungo ni muhimu katika makuzi na maendeleo ya mtoto. Mazoezi yaviungo humarisha afya ya mwili na kuboresha stadi za uchezaji. Yapo mazoezi ya wepesi na kujisawazisha. Mazoezi ya viungo hufanyika kwa mitindo mbalimbali. Mfano: kukimbia, kuruka na kusimama kwamguu mmoja. Mazoezi huweza kufanywa na mtu mmoja au katika vikundi.

  1. Mazoezi ya viungo ni muhimu katika makuzi ya___________
  2. Mazoezi ya viungo huimarisha_______ya mwili.
  3. ___________hufanyika kwa mitindo mbali mbali.
  4. Mfano wa mazoezi hayo ni kukimbia, kuruka na___________
  5. Mazoezi huweza kufanywa na________ mmoja au katika vikundi.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 136

 OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MUHULA WA PILI

SOMO: SANAA NA MICHEZO DARASA: TATU 

MUDA: SAA 1:00 SEHEMU 

1. Chagua herufi ya jibu sahihi kasha iandike katika kisanduku

i. Ni kifaa kipi hutumika kwenye mchezo wa rede? 

  1. chupa
  2. kiti 
  3. simu 
  4. karatasi

 ii. Nini faida ya uigizaji katika jamii yetu? 

  1. kuburudisha 
  2. kuharibu tamaduni
  3. kupunguza ajira
  4. kufundisha tabia mbaya 

iii. Kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la mwingine huitwa ____. 

  1. kuigiza
  2. ufinyanzi
  3. uchoraji 
  4. sanaa 

iv. ___ ni ujumbe unaokusudiwa katika kazi ya sanaa. 

  1. wimbo 
  2. dhamira 
  3. maonesho
  4. muziki

v. Mtu mwenye ustadi wa kazi ya sanaa huitwa____. 

  1. sanaa 
  2. msanii 
  3. wimbo
  4. burudani

SEHEMU B:

2. Oanisha Sehemu A na Sehemu B ili kuleta maana sahihi.

NA.

SEHEMU A

MAJIBU

SEHEMU B

i.

Watazamaji wa sanaa za maonesho

[    ]

A. Nyimbo

ii.

Kwaya ya muziki ya bongo fleva

[    ]

B. Igizo

iii.

Mtu mwenye ustadi wa kazi ya sanaa

[    ]

C. Maleba

iv.

Onesho linalofanyika wakati wa kuigiza

[    ]

D. Hadhira

v.

Mavazi yanayovaliwa wakati wa kuigiza

[    ]

E. Msanii

SEHEMU C:

3. Chagua neno sahihi kutoka katika jedwali kisha jaza nafasi wazi.

Ala, wawili, penseli, watatu, kugonga, chungu, kupuliza.

i. Mchezo wa bao huchezwa na watu wangapi? _______________________.

ii. Kifaa kinachotumika katika muziki huitwa ______________________.

iii. Tarumbeta ni ala ya muziki ya _____________________. 

iv. Kifaa kinachotumika katika sanaa ya uchoraji ni __________________.

v. Kifaa kinachotokana na sanaa ya ufinyanzi ni ___________________.

SEHEMU C:

4. Tumia sanaa ya uchoraji kuchora vitu vifuatavyo kwa usahihi.

NA.

JINA LA PICHA

UMBO LA PICHA

i.


Ngoma




ii.

Kiti





iii.

Nyumba





iv.

Meza





V.

Kikombe



SEHEMU D.

5. Chunguza picha kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata;

image

Maswali

i. Kifaa kinachooneshwa kwa herufi A huitwa ____________________.

 ii. Kikombe kimeoneshwa kwa herufi gani _______________________. 

iii. Udongo gani hutumika katika ufinyanzi? ________________________.

iv. Shughuli ipi hupelekea uzalishaji wa vifaa vinavyoonekana katika picha? __________________________.

v. Herufi B inaonesha kifaa gani kilichotengenezwa? ___________________.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 113

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256