?>
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA AGOSTI 2025
MTIHANI WA DARASA LA III
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
(i). Ni somo lipi linalohusu dunia, angahewa, na vitu vilivyopo juu ya uso wa dunia na mtawanyiko wake?
(ii). Ili mazingira yapendeze tunapaswa kufanya nini?
(iii). Mazao na mimea hustawi vizuri katika kipindi kipi?
(iv). Ni vitu gani huonekana angani wakati wa usiku?
(v). Ni kitu kipi kati ya vitu vifuatavyo huunda mazingira ya kutengenezwa na binadamu?
(vi). Tabianchi ya sehemu moja hutofautiana na ya sehemu nyingine kwa sababu zipi?
(vii). Ufugaji wa nyuki hutegemea uwepo wa rasilimali gani muhimu?
(viii). Maeneo ya Tanzania yaliyopo karibu na bahari mara nyingi huwa na hali ya hewa gani?
2. Oanisha fungu A na B ili kupata maana kamili
Fungu A | Fungu B |
(i). Kupanda miti [ ] (ii)Mazingira [ ] (iii). kufagia [ ] (iv) Kupanda viunga vya maua [ ] (v). Madarasa, madawati na bendera ya taifa [ ] (vi). Mazingira ya nyumbani [ ] |
|
3. Soma habari kisha jibu maswali
Mazingira ni jumla ya vitu vyote vinavyotuzunguka. Mazingira yamegawanyika katika sehemu mbili ambayo ni mazingira ya asili na mazingira ya kutengenezwa na binadamu. Mazingira ya asili yanajumuisha vitu kama hewa, milima, mito na uoto wa asili. Mazingira ya kutengenezwa yanaundwa na vitu kama majengo, samani na rasilimali nyinginezo.
Ili mazingira yapendeze tunapaswa kuyasafisha na kuyaboresha kwa kupanda miti.
MASWALI
(i). Vitu vyote ninavyomzunguka binadamu vinaunda nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(ii). Milima, mito na hewa ni aina ipi ya mazingira? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iii). Taja kitendo kimoja tu cha kusafisha mazingira. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Tunaweza kuboresha mazingira ya shuleni na nyumbani kwa kufanya nini? . . . . . . . . . . . .
(v). Ili mazingira yapendeze yatupasa kufanya nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
(vi). Taja aina mbili za mazingira. i. . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
ii. . . . . . . . . . . . . . . . ..
(vii). Taja vitu viwili tu vinavyounda mazingira uliyopo
(a). . . . . . . . . . . . .
(b). . . . . . . . . . ...
4. Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali
|
MASWALI
(i). Picha hiyo inaonesha mazingira ya wapi? . . . . . . . . ..
(ii). Taja vitu viwili tu unavyoviona kwenye picha hiyo.
(a). . . . . . . . . . . . . . . . . . ... (b). . . . . . . . . . . . . . ...
(iii). Taja rasilimali mbili tu zinazoweza kupatikana ndani ya majengo hayo.
(a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Ni huduma gani inayotolewa katika mazingira hayo? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 103