?>
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA TATU
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
1. Chagua herufi ya jibu sahihi na ujaze katika kisanduku
i. Ziwa gani lina kina kirefu Tanzania na Afrika?
ii. Ni umbo gani la sura ya nchi inavutia zaidi watalii?
iii. Mlima Meru upo katika mkoa gani?
iv. Ni kazi nyingine unayoweza kufanya ukitoa uvuvi kama unaishi katika eneo lenye bahari na ziwa__________
v. Katika kundi lifuatalo ni lipi linahusisha wanyama wanaofugwa nyumbani?
2. OANISHA KUNDI A NA KUNDI B
|
| Kundi A | Majibu | Kundi B |
| i. | Mlima Kilimanjaro | A. Somo linalohusu mahusiano kati ya binadamu na mazingira B. Ziwa lenye kina kirefu Afrika C. Mfano wa Beseni D. Vitu vyote vinavyomzunguka binadamu E. Mlima mrefu Tanganyika F. Mbuga kubwa kuliko zote Tanzania | |
| ii. | Ziwa victoria | ||
| iii | Jiografia | ||
| iv. | Mbuga ya wanyama ya Nyerere | ||
| V. | Mazingira |
3. CHAGUA JIBU KATIKA KISANDUKU NA UJAZE KWENYE NAFASI ZILIZOACHWA WAZI
| Dunia, Uvuvi, Utalii, Anga, Mwanajiografia |
i. Mtu anayetembea sehemu fulani kwa ajili ya kujifunza au kufurahia ________________
ii. ___________________ni shughuli za kiuchumi zinazofanywa na watu waishio karibu na vyanzo vya maji. Mfano bahari, ziwa na mto
iii. _____________________ni safu inayoundwa na mchanganyiko wa gesi mbalimbali kama vile oksijeni na kabondayoksaidi
iv. Ni sayari ya tatu katika mfumo wa jua______________________________________
v. Mtu anaejifunza kuhusiana na jiografia anaitwa?______________________________
4. JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI
i. Shughuli ya kiuchumi inayohusisha kulima mazao na ufugaji wa wanyama huitwa
__________________________________________________
ii. Sehemu kubwa ya dunia imeundwa na _______________________________________
iii. Madini pekee yanayochimbwa Tanzania ni ____________________________________
iv. Sehemu ya dunia iliyoundwa na maji ni ______________________________________
v. Taja vitu viwili vinavyotengenezwa na mwanadamu vilivyopo shuleni
a. ____________________________________________
b. _____________________________________________
5. SOMA KIFUNGU CHA HABARI NA UJIBU MASWALI YAFUATAYO
Mlima ni umbo la ardhi lenye mwinuko mrefu zaidi juu ya uso wa dunia. Sehemu ya juu ya mlima huitwa kilele cha mlima. Kwenye kilele cha mlima huwa na theruji na barafu. Mlima huwa na mteremko mkali.
Tanzania kuna milima inayotofautiana urefu. Mfano mlima mrefu kupita yote ni mlima Kilimanjaro wenye urefu wa mita 5895. Na juu ya mlima kuna theruji na barafu. Hii ni kwasababu kadri mwinuko wa ardhi unavyoongezeka joto hupungua. Pia mlima Kilimanjaro ni wa kwanza kwa urefu barani Afrika.
MASWALI
i. Tunaitaje sehemu ya juu ya mlima
________________________________________________________________________
ii. Mlima mrefu Afrika upo katika mkoa gani?
________________________________________________________________________
iii. Kwanini kilele cha mlima Kilimanjaro kimefunikwa kwa theruji na barafu?
________________________________________________________________________
iv. Kulingana na habari uliyoisoma mlima Kilimanjaro una urefu gani?
_______________________________________________________________________
v. kichwa cha habari kinachofaa habari hii ni
______________________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 159
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA MWEZI MEI 2026
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
DARASA LA III
MUDA: SAA 1:30
1. Jibu kipengele (i)-(vi) kwa kuchagua herufi sahihi na andika herufi hiyo kwenye kisanduku ulichopewa
i. Zipi kati ya sifa zifuatazo zinatofautisha mlima na kilima
ii. Kwa nini vilele vya baadhi ya milima kama vile mlima Kilimanjaro vimefunikwa na barafu?
iii. Kipi kati ya vifuatavyo vinapatikana ndani ya nyumba?
iv. Ni yupi miongoni mwa viumbe hai wafuatao huishi ndani ya maji pekee?
v. Somo linalomuhusu binadamu na mazingira yake hujulikana kama ____________
2. Oanisha safu A na Safu B ili kuleta maana kamili
| Safu A | SAFU B |
|
|
3. Jibu kipengele(i)-(ii kwa kuchagua dhana sahihi ya kijiografia kutoka kwenye kisanduku na kuiandika katika nafasi ilioachwa wazi
| Mazingira,Sura ya nchi,Ziwa Tanganyika,Ziwa viktoria,Mlima Kilimanjaro,Miti,Huduma za jamii |
I. Ziwa lenye kina kirefu Tanzania_____________________________________
II. Upatikana mashuleni,Hospitalini na sokoni_________________________________
III. Vitu vyote vinavyomzunguka binadamu___________________________________
IV. Mwonekano wa maumbo mbalimbali ya ardhi katika uso wa dunia________________
V. Husaidia kupunguza hewa ukaa katika anga_________________________________
4. Jaza nafasi zilizo wazi kwa kuandika jibu sahihi
A. Orodhesha milima inayopatikana kwenye mikoa ifuatayo
I. Arusha ___________________________
II. Mbeya ___________________________
B. Andika jina la mlima mrefu kuliko yote Africa ____________________________
C. Orodhesha vifaa vinavyotumika katika kufanya usafi wa mazingira ya darasani
i. ___________________________________________
ii. ___________________________________________
5. Soma picha ifuatayo kisha jibu maswali (i) – (iv) kwa kuandika jibu sahihi kwenye nafasi wazi
![]() |
MASWALI
i. Ni shughuli gani inayofanyika kwenye picha hiyo hapo juu? ___________________________
ii. Je shughuli iliyopo kwenye picha inafanyikia wapi ___________________________________
iii. Andika vitu vinavyopatika kwenye picha.
a) ___________________________________
b) __________________________________
iv. Nini faida ya shughuli hiyo kwenye mazingira? ________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 142
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA PILI
SOMO: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA: TATU
MUDA: SAA 1:30
JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________
SEHEMU A : Chagua herufi ya jibu sahihi
(i) Jiografia inahusu? [ ]
(ii)Uharibifu wa mazingira unaweze kusababisha athari zipi kwa binadamu ? [ ]
(iii) Uchafuzi wa hewa huleta athari gani kwa afya ya mazingira ? [ ]
(iv) Mlima mrefu kuliko yote Tanzaania unaitwa ? [ ]
(v)Maeneo ya Tanzania yaliyopo karibu na bahari mara nyingi huwa na hali ya hewa gani ? [ ]
(vi) Tabia nchiya sehemu moja hutofautiana na ya sehemu nyingine kwa sababu zipi ? [ ]
(vii) Ni somoslipi linalohusu dunia , angahewa na vitu vilivyopo juu uso wa dunia na mtawanyiko wake ? [ ]
2. SEHEMU B: Oanisha safu A na B ili kuleta maana kisha andika herufi ya jibu sahihi
| SAFU A | MAJIBU | SAFU B |
| (i) Mlima | [ ] | (a) Eneo la ardhi lililoinuka kwa urefu wa wastani |
| (ii) Tambarare | [ ] | (b) Sehemu ya juu ya mlima |
| (iii) Kilimo | [ ] | (c)Hutokea katikati ya vilima na milima |
| (iv) Kilele cha mlima | [ ] | (d) unaakimokirefu zaidi kilichoinuka juu ya uso wa dunia |
| (v) Mabonde | [ ] | (e)Hakuna milima,vilimawalamiinuko mikubwa |
3. SEHEMU C: Jaza nafasi zilizoachwa wazi
(i) Kitu kinachomzunguka binadamu kinaitwa . . . . . . . . . . . ..
(ii) Mifano miwili ya vitu vinavyopatikana katika mazingira ya shule ni madarasa na . . . . . . . .
(iii) Mbali na kundi la viumbe hai kundi gani jingine lina patikana katika mazingira ya shule . . . . .
(iv) Vifaa vya kufanyia usafi wa mazingira ni . . . . . . . . . . .. Na . . . . . . . . . . . ...
(v) Madarasa ,madawati na bendera ya taifa ni vitu vinavyopatikana mazingira ya . . . . . . . ..
(vi) Mawe ya dhamani yanoyo chimbwa ardhini huitwa . . . . . . . . ...
(vii) Shughuli inayohusu kutunza mifugo kam vile ng”ombe mbuzi au kuku huitwa . . . . . . .
4. SEHEMU D: Chagua jibu kutoka kwenye kisanduku
| Kiwanda, Beseni, Kilimo, Mabonde, Gundi |
(i) Shughuli inayohusisha uzalishaji wa mazao mbalimbali . . . . . . . . . ..
(ii) Mahali panapofanyika shuguli ya kiuchumi inayohusisha uchakataji wa maligafi na uzalishaji
bidhaa . . . . . . . . . . . . .
(iii) Sehemu ya arthi iliyobonyea na kutengeneza umbo kama la baseni . . . . . . . . . . . . . . .
(iv) Maumbo ya arthi yenye kina kirefu . . . . . . . . . . . . . ..
(v) Kwato za wanyama hutumiwa kutengeneza . . . . . . . . . . . . . . . ..
5. SEHEMU E:
Soma habari ifuatayo kisha jibu swali la (I-V)
Mazingira nijumla ya vitu vyote vinavyotuzunguka.Mazingira yamegawanyika katika sehemu mbili ambayo ni mazingira ya asili yanayojumuisha vitu kama hewa ,milima mito na uoto wa asili .Mazingira ya kutengenezwa yanaundwa vitu kama majengo ,samani na rasilimali.ili mazingira yapendeze tunapaswa kuya safisha na kuyaboresha kwa kupanda miti.
MASWALI
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 137

LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 115
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA AGOSTI 2025
MTIHANI WA DARASA LA III
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
(i). Ni somo lipi linalohusu dunia, angahewa, na vitu vilivyopo juu ya uso wa dunia na mtawanyiko wake?
(ii). Ili mazingira yapendeze tunapaswa kufanya nini?
(iii). Mazao na mimea hustawi vizuri katika kipindi kipi?
(iv). Ni vitu gani huonekana angani wakati wa usiku?
(v). Ni kitu kipi kati ya vitu vifuatavyo huunda mazingira ya kutengenezwa na binadamu?
(vi). Tabianchi ya sehemu moja hutofautiana na ya sehemu nyingine kwa sababu zipi?
(vii). Ufugaji wa nyuki hutegemea uwepo wa rasilimali gani muhimu?
(viii). Maeneo ya Tanzania yaliyopo karibu na bahari mara nyingi huwa na hali ya hewa gani?
2. Oanisha fungu A na B ili kupata maana kamili
| Fungu A | Fungu B |
| (i). Kupanda miti [ ] (ii)Mazingira [ ] (iii). kufagia [ ] (iv) Kupanda viunga vya maua [ ] (v). Madarasa, madawati na bendera ya taifa [ ] (vi). Mazingira ya nyumbani [ ] |
|
3. Soma habari kisha jibu maswali
Mazingira ni jumla ya vitu vyote vinavyotuzunguka. Mazingira yamegawanyika katika sehemu mbili ambayo ni mazingira ya asili na mazingira ya kutengenezwa na binadamu. Mazingira ya asili yanajumuisha vitu kama hewa, milima, mito na uoto wa asili. Mazingira ya kutengenezwa yanaundwa na vitu kama majengo, samani na rasilimali nyinginezo.
Ili mazingira yapendeze tunapaswa kuyasafisha na kuyaboresha kwa kupanda miti.
MASWALI
(i). Vitu vyote ninavyomzunguka binadamu vinaunda nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(ii). Milima, mito na hewa ni aina ipi ya mazingira? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iii). Taja kitendo kimoja tu cha kusafisha mazingira. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Tunaweza kuboresha mazingira ya shuleni na nyumbani kwa kufanya nini? . . . . . . . . . . . .
(v). Ili mazingira yapendeze yatupasa kufanya nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
(vi). Taja aina mbili za mazingira. i. . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
ii. . . . . . . . . . . . . . . . ..
(vii). Taja vitu viwili tu vinavyounda mazingira uliyopo
(a). . . . . . . . . . . . .
(b). . . . . . . . . . ...
4. Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali
|
|
MASWALI
(i). Picha hiyo inaonesha mazingira ya wapi? . . . . . . . . ..
(ii). Taja vitu viwili tu unavyoviona kwenye picha hiyo.
(a). . . . . . . . . . . . . . . . . . ... (b). . . . . . . . . . . . . . ...
(iii). Taja rasilimali mbili tu zinazoweza kupatikana ndani ya majengo hayo.
(a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Ni huduma gani inayotolewa katika mazingira hayo? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 103