?>
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA PILI
SOMO: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA: TATU
MUDA: SAA 1:30
JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________
SEHEMU A : Chagua herufi ya jibu sahihi
(i) Jiografia inahusu? [ ]
(ii)Uharibifu wa mazingira unaweze kusababisha athari zipi kwa binadamu ? [ ]
(iii) Uchafuzi wa hewa huleta athari gani kwa afya ya mazingira ? [ ]
(iv) Mlima mrefu kuliko yote Tanzaania unaitwa ? [ ]
(v)Maeneo ya Tanzania yaliyopo karibu na bahari mara nyingi huwa na hali ya hewa gani ? [ ]
(vi) Tabia nchiya sehemu moja hutofautiana na ya sehemu nyingine kwa sababu zipi ? [ ]
(vii) Ni somoslipi linalohusu dunia , angahewa na vitu vilivyopo juu uso wa dunia na mtawanyiko wake ? [ ]
2. SEHEMU B: Oanisha safu A na B ili kuleta maana kisha andika herufi ya jibu sahihi
| SAFU A | MAJIBU | SAFU B |
| (i) Mlima | [ ] | (a) Eneo la ardhi lililoinuka kwa urefu wa wastani |
| (ii) Tambarare | [ ] | (b) Sehemu ya juu ya mlima |
| (iii) Kilimo | [ ] | (c)Hutokea katikati ya vilima na milima |
| (iv) Kilele cha mlima | [ ] | (d) unaakimokirefu zaidi kilichoinuka juu ya uso wa dunia |
| (v) Mabonde | [ ] | (e)Hakuna milima,vilimawalamiinuko mikubwa |
3. SEHEMU C: Jaza nafasi zilizoachwa wazi
(i) Kitu kinachomzunguka binadamu kinaitwa . . . . . . . . . . . ..
(ii) Mifano miwili ya vitu vinavyopatikana katika mazingira ya shule ni madarasa na . . . . . . . .
(iii) Mbali na kundi la viumbe hai kundi gani jingine lina patikana katika mazingira ya shule . . . . .
(iv) Vifaa vya kufanyia usafi wa mazingira ni . . . . . . . . . . .. Na . . . . . . . . . . . ...
(v) Madarasa ,madawati na bendera ya taifa ni vitu vinavyopatikana mazingira ya . . . . . . . ..
(vi) Mawe ya dhamani yanoyo chimbwa ardhini huitwa . . . . . . . . ...
(vii) Shughuli inayohusu kutunza mifugo kam vile ng”ombe mbuzi au kuku huitwa . . . . . . .
4. SEHEMU D: Chagua jibu kutoka kwenye kisanduku
| Kiwanda, Beseni, Kilimo, Mabonde, Gundi |
(i) Shughuli inayohusisha uzalishaji wa mazao mbalimbali . . . . . . . . . ..
(ii) Mahali panapofanyika shuguli ya kiuchumi inayohusisha uchakataji wa maligafi na uzalishaji
bidhaa . . . . . . . . . . . . .
(iii) Sehemu ya arthi iliyobonyea na kutengeneza umbo kama la baseni . . . . . . . . . . . . . . .
(iv) Maumbo ya arthi yenye kina kirefu . . . . . . . . . . . . . ..
(v) Kwato za wanyama hutumiwa kutengeneza . . . . . . . . . . . . . . . ..
5. SEHEMU E:
Soma habari ifuatayo kisha jibu swali la (I-V)
Mazingira nijumla ya vitu vyote vinavyotuzunguka.Mazingira yamegawanyika katika sehemu mbili ambayo ni mazingira ya asili yanayojumuisha vitu kama hewa ,milima mito na uoto wa asili .Mazingira ya kutengenezwa yanaundwa vitu kama majengo ,samani na rasilimali.ili mazingira yapendeze tunapaswa kuya safisha na kuyaboresha kwa kupanda miti.
MASWALI
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 137

LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 115
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA AGOSTI 2025
MTIHANI WA DARASA LA III
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
(i). Ni somo lipi linalohusu dunia, angahewa, na vitu vilivyopo juu ya uso wa dunia na mtawanyiko wake?
(ii). Ili mazingira yapendeze tunapaswa kufanya nini?
(iii). Mazao na mimea hustawi vizuri katika kipindi kipi?
(iv). Ni vitu gani huonekana angani wakati wa usiku?
(v). Ni kitu kipi kati ya vitu vifuatavyo huunda mazingira ya kutengenezwa na binadamu?
(vi). Tabianchi ya sehemu moja hutofautiana na ya sehemu nyingine kwa sababu zipi?
(vii). Ufugaji wa nyuki hutegemea uwepo wa rasilimali gani muhimu?
(viii). Maeneo ya Tanzania yaliyopo karibu na bahari mara nyingi huwa na hali ya hewa gani?
2. Oanisha fungu A na B ili kupata maana kamili
| Fungu A | Fungu B |
| (i). Kupanda miti [ ] (ii)Mazingira [ ] (iii). kufagia [ ] (iv) Kupanda viunga vya maua [ ] (v). Madarasa, madawati na bendera ya taifa [ ] (vi). Mazingira ya nyumbani [ ] |
|
3. Soma habari kisha jibu maswali
Mazingira ni jumla ya vitu vyote vinavyotuzunguka. Mazingira yamegawanyika katika sehemu mbili ambayo ni mazingira ya asili na mazingira ya kutengenezwa na binadamu. Mazingira ya asili yanajumuisha vitu kama hewa, milima, mito na uoto wa asili. Mazingira ya kutengenezwa yanaundwa na vitu kama majengo, samani na rasilimali nyinginezo.
Ili mazingira yapendeze tunapaswa kuyasafisha na kuyaboresha kwa kupanda miti.
MASWALI
(i). Vitu vyote ninavyomzunguka binadamu vinaunda nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(ii). Milima, mito na hewa ni aina ipi ya mazingira? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iii). Taja kitendo kimoja tu cha kusafisha mazingira. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Tunaweza kuboresha mazingira ya shuleni na nyumbani kwa kufanya nini? . . . . . . . . . . . .
(v). Ili mazingira yapendeze yatupasa kufanya nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
(vi). Taja aina mbili za mazingira. i. . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
ii. . . . . . . . . . . . . . . . ..
(vii). Taja vitu viwili tu vinavyounda mazingira uliyopo
(a). . . . . . . . . . . . .
(b). . . . . . . . . . ...
4. Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali
|
|
MASWALI
(i). Picha hiyo inaonesha mazingira ya wapi? . . . . . . . . ..
(ii). Taja vitu viwili tu unavyoviona kwenye picha hiyo.
(a). . . . . . . . . . . . . . . . . . ... (b). . . . . . . . . . . . . . ...
(iii). Taja rasilimali mbili tu zinazoweza kupatikana ndani ya majengo hayo.
(a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Ni huduma gani inayotolewa katika mazingira hayo? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZJIOGRAFIA STANDARD THREE EXAM SERIES 103