Namba Ya Upimaji ____________________
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI BAADA YA MTIHANI WA UTAMIRIFU KIDATO CHA PILI MKOA WA KILIMANJARO
060 HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
Masaa 2:30 Ijumaa Tarehe 19 Septemba, 2025
MAELEKEZO
| KWA MATUMIZI YA WATAHINI TU | ||
| NAMBA YA SWALI | ALAMA | SAHIHI YA WATAHINI |
| 1 | ||
| 2 | ||
| 3 | ||
| 4 | ||
| 5 | ||
| 6 | ||
| 7 | ||
| 8 | ||
| 9 | ||
| 10 | ||
| JUMLA | ||
| SAHIHI YA WAHAKIKI | ||
SEHEMU A (ALAMA 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
1. Katika kipengele (i) hadi (x) chagua herufi ya jibu sahihi, kisha Andika herufi ya jibu hilo katika kisanduku ulichopewa.
i. Mwanafunzi mgeni wa kidato cha kwanza aitwae Meko ameshindwa kuelewa kwa undani maana ya neno “Historia ya Tanzania”.Mwalimu wa somo hilo Rashidi akakupa nafasi ya kumuelewesha kwa ufupi. Ipi katiya maana zifuatazo utazizingatia wakati wakumuelewesha?
ii. Salma anajivunia kuwa miongoni mwa wanafunzi wanaosoma somo la “Historia ya Tanzania naMaadili”, kwa kuwaelimisha kuwa na mapenzi na nchi yake. Kitendohiki cha Salma kuipenda nchi yake kinajulikana kuwa ni?
iii. Wakati wa ufundishaji wa mada ya pili katika dhana ya jamii, Mwalimu Juma alisema “Ni mkusunyiko wa familia mbalimbali zenye uhusiano wa karibu” Maana hii ina shabihiana na ipi kati ya vipengele vifuatavyo?
v. Katika kuhakikisha utunzwaji wa maeneo ya kihistoria duniani, Umoja wa Taifa umeunda shirika linaloshughulikia utambuzi na upitishaji wa maeneo hayo kama Urithi wa dunia na nchi husika. Lipi kati ya mashirika yafuatayo linajihusisha na maswala tajwa hapo juu?
vi. Mila, desturi, lugha na ufundi ni kundi linalowakilisha Urithi unaopatikana katika nchi ya Tanzania, Je ni aina gani ya urithi?
vii. Katika hotuba yake juu ya ustawi wa maadili na maliasili za taifa, Waziri mkuu alizungumzia majukumu yanayohusiana na uhifadhi na ulinzi wa Urithi wa taifa na maadili. Unadhani ni nani haswa anayehusika na ulinzi huo kwa maendeleo ya taifa letu?
viii. Waarabu wa kwanza kuja Pwani ya Afrika walikuja kufanya biashara ya
ix. Mfumo wa utawala wa waingereza ulibadilika kutoka
ix. Misingi mikuu ya maadili ya jamii za Kitanzania wakati wa ukoloni unaingia umejipambanua katika Nyanja mbalimbali ikijumuisha vipengele vifuatavyo isipokua kipengele kimojawapo:-
x. Sababu zilizopelekea kushindwa kwa jamii nyingi za Kitanzania katika kupambana na ukoloni ni pamoja na :-
MAJIBU
| i | ii | iii | iv | v | vi | vii | viii | ix | x |
2. Oanisha vipengele vinavyoonesha kauli na kampeni za maraisi wa Tanzania katika vipindi mbalimbali juu ya mapambano dhidi ya rushwa na mmomonyoko wa maadili kutoka Orodha A na kundi husika kutoka Orodha B, kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kisanduku ulichopewa.
| ORODHA A | ORODHA B |
|
|
MAJIBU
| i | ii | iii | iv | v |
. |
SEHEMU B (Alama 70)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. Kileo ni mwanafunzi wa kidato cha pili aliyeshindwa kuelewa athari mbalimbali za mifumo ya wakoloni katika maadili ya Kitanzania, muelezee athari zifuatazo
4. Wanafunzi wa mkondo wa bishara wa shule ya sekondari Mawella walitakiwa kufanya utafiti kwa njia ya mtandao ili kubaini shughuli mbali mbali zilizofanywa na makundi ya Jamiii ya asili ya Kitanzaniaa . Unadhani ni shughuli zipi walizibaini na kuzinukuu katika madaftari yao? (Taja shughuli tano (5) ).
5. Wananchi wa Tanganyika na Zanzibar walitumia mbinu mbalimbali za kudai uhuru, onesha mbinu tano (5) zilizotumika kupigania uhru kutoka kwa wakoloni.
6. Jamii za Kitanzania imebeba zana ya kuwa na tabia, Ziainishe tabia tano (5) njema zinazofanywa na Watanzania.
7. Chriss ni mwanafunzi wa chuo cha Oxford nchini Uingereza, anapenda umjulishe orodha ya urithi (5) wa dunia upatikanao Tanzania
8. Mwalimu wa somo la Historia ya Tanzania alifundisha juu ya fursa zitokanazo na urithi wa jamii za Kitanzania ambapo alianisha mambo mbalimbali. Taja fursa tano (5)
9. Taja makundi makuu matano ya jamii za jamii za kitanzania.
Sehemu C (Alama 15)
Jibu swali la kumi (10).
10. Sokomoko ni kijana asiye na maadili katika jamii,wewe kama kijana mwenzake mfundishe juu ya faida ya maadili katika jamii,toa hoja sita (6).
FORM TWO HISTORIA EXAM SERIES 151
FORM TWO HISTORIA EXAM SERIES 151