JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA PILI
ELIMU YA DINI YA KIISLAMU
KIDATO CHA TATU
MUDA: SAA 2:30 NOVEMBER 2025
Maelekezo:
SEHEMU A (Alama 16)
Jibu maswali yote.
1. Katika kipengele i -x chagua jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu lako katika kijitabu chako cha kujibia.
SEHEMU A
1.(i) Ni upi mtazamo wa Uislamu juu ya maada ya ‘ibada’?
(ii) Nini maana ya Dini.
(iii) Nini maana ya shirki.
(iv) Ni ipi maana halisi ya kumuamini Mwenyezi Mungu (s.w) katika maisha ya kila siku?
(v) Matendo ya ibada ya Hijjah.
(vi) Bainisha nafasi ya Zakat katika Uislamu.
(vii) Eleza maana ya swaumu kisheria
(viii) Wengi wafungao mwezi wa Ramadhan hawafikii malengo ya funga zao. Sababu ya ni ?
(ix) Miongoni mwa haki katika Uislamu ni.
(x) Hii ni haki kisheria ili kuwa mwanafamilia halali.
| i | ii | iii | iv | v | vi | vii | viii | ix | x |
2. Oanisha kifungu cha maneno kilichopo kutoka ORODHA "A" na kile kinachowiana kutoka ORODHA "B" kisha andika herufi ya jibu lako katika kijitabu chako cha kujibia.
| ORODHA A | ORODHA B |
|
|
| i | ii | iii | iv | v | vi |
SEHEMU B
3. Dhihirisha matunda ya kusimamisha ibada ya swala kikamilifu.
4. . Kwa kutumia ushahidi wa Hadith, onesha hatua tatu za kuondosha uovu katika mazingira ya jamii yako.
5. Orodhesha itikadi ya makundi ya dini za wanaadamu zifuatazo;
6. Kutokana na ushahidi wa kihistoria, eleza uwepo wa ufufuo baada ya kufa.
7. Ni lipi lengo la kuletwa Mitume na Manabii?
8. Ainisha mafunzo matano yatokanayo na mkataba wa Hudaibiyah kwa muhtasari.
SEHEMU C
9. Eleza hatua alizochukua Mtume (s.a.w) katika kuihifadhi na kuilinda Qur’an.
10. Mwanaadamu pamoja na ujuzi alionao, hawezi kujiundia mfumo sahihi wa maisha. Thibitisha kauli hii kwa hoja tano tu.
11. Mtume (s.a.w) alitumia njia za ulinzi, usalama na diplomasia katika kuilinda serikali ya Kiislamu Madinah. Fafanua kauli hii.
FORM THREE EDK EXAM SERIES 253
FORM THREE EDK EXAM SERIES 253