| Main Topic | Sub Topic | Content Covered | Date Started | Date Ended | Teacher's Comment | H.O.D Comment | H/M Comment |
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili | 1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili | (i) Kufafanua dhana ya maana. (ii) Kubaini aina za maana. (iii) Kuwasilisha majibu darasani. | |||||
| 1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili | 1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili | (i) Kuchambua aina za maana. (ii) Kutolea mifano. (iii) Kujadili matokeo. | |||||
| 1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili | 1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili | (i) Kusoma matini. (ii) Kubaini maneno yenye maana za msingi na za ziada. (iii) Kuwasilisha matokeo. | |||||
| 1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili | 1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili | (i) Kulinganisha maana za msingi na za ziada. (ii) Kutunga sentensi. (iii) Kuwasilisha sentensi. | |||||
| 1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili | 1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili | (i) Kutunga sentensi. (ii) Kutumia maneno katika miktadha mbalimbali. (iii) Kuwasilisha kazi. | |||||
| 1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili | 1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili | (i) Kufafanua antonimia. (ii) Kufafanua homonimia. (iii) Kutolea mifano. |