HELLO YOUR HERE TO VIEW SHAJARA YA KISWAHILI KIDATO CHA TANO
Main Topic Sub Topic Content Covered Date Started Date Ended Teacher's Comment H.O.D Comment H/M Comment
1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili(i) Kufafanua dhana ya fonimu. (ii) Kubaini alofoni za Kiswahili. (iii) Kueleza uhusiano wa fonimu na alofoni.
1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili(i) Kuchambua sifa bainifu za fonimu. (ii) Kutofautisha fonimu na alofoni. (iii) Kuwasilisha majibu.
1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili(i) Kufafanua dhana ya silabi. (ii) Kubaini miundo ya silabi. (iii) Kutolea mifano.
1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili(i) Kuchambua miundo ya silabi katika matini. (ii) Kutunga mifano ya silabi. (iii) Kuwasilisha matokeo.
1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili(i) Kubaini viarudhi vya Kiswahili. (ii) Kueleza sifa zake. (iii) Kufafanua dhima zake.
1.0 Kumudu stadi za juu za Kiswahili1.1 Kukuza uelewa wa misingi na kanuni za Kiswahili(i) Kufafanua mofu. (ii) Kufafanua alomofu. (iii) Kutolea mifano.

Fill The Form Below To DOWNLOAD SHAJARA YA KISWAHILI KIDATO CHA TANO For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256